GuidePedia

0
Mwanadada Claire Leeson mkazi wa london Uimgereza amaetumia kiasi cha Euro 20,000 amabcho ni sawa na Dola 30,000 ili kubadili muonekano wake na kufanana na Kim.
kim-kardashian-lookalike 
Mwanadada uyu amesema kuwa alikuwa akiambiwa kuwa ye mtu mbaya ambaye hakuwai kutokea, na halipomaliza shule wenzake walimwambia kuwa ana muonekano kama wa Kim Kardashian.
Claire Leeson 
Ivyo aliamua kufuatilia kipind kinachoiusu familia ya Kim (Kereping up with the Kardashians) na aliona vitu baadhi ambavyoa alikuwa akifanana na Kim ivy ukafuata uamuzi wa kubadilisha mwili wake ikiwemo kung'arisha meno, kutengeneza matiti, na mtindo wa nywele.
Claire Leeson2

Post a Comment

Add comment

 
Top